Mafunzo ya shulewise

Walimu wakuu/Admin

Walimu wakuu/Admin

Fomu za muhimu za kudownload

Pakua fomu na dokumenti muhimu ambazo zinatumika hapa, Excell position , Student registrationemployee registration

1. Ingia (login) kwenye akaunti

Fahamu namna ya kuingia kwenye akaunti yako ya shulewise kama umepata tayari username na password kupitia email, pia angalizo kwa watumiaji wa kompyuta moja ANGALIA >

2. Reset password au username

Fahamu namna ya kubadili password au username mara tu baada ya kuingia kwenye akaunti yako ya shulewise ANGALIA >

3. Edit profile yako

Fahamu namna ya kuongeza au kurekebisha taaarifa zako katika akaunti yako ya shulewise kupitia kipengele cha profile kwenye akaunti yako ANGALIA >

4. Roles vs Designation

Fahamu utofauti wa accounti roles (aina za akaunti) na designation/vyeo kwenye mtandao wa shulewise ANGALIA >

5. Badili academic session

Badili mwaka wa masomo au muhula, pindi unapoanza mwaka wa masomo au muhula mpya ANGALIA >

6. Department na Designation

Jaza taarifa za idara/department na Designation/vyeo vilivyopo katika taasisi yako ya elimu  ili kuanza kuwasajili watumishi ANGALIA >

7. Add employee

Sajili mtumishi mwingine mfano mwalimu, mhasibu n.k kwenye mtandao wako ANGALIA >

8. Add employee by mutiple import

Sajili mtumishi au watumishi wengine mfano walimu, wahasibu n.k kwenye mtandao wako kwa njia ya ku-import excell faili ANGALIA >

9. Badili password ya mtumishi yeyote

Namna ya kubadili password ya akaunti ya mtumishi yeyote yule kama kasahau au kuzuia asiingie tena ANGALIA >

10. Funga akaunti ya mtumishi yeyote

Namna ya kufunga/deactivate akaunti ya mtumishi yeyote bila kuifuta(delete), asiweze kuingia tena na namna ya kuirudisha akaunti yake ANGALIA >

11. Seti classes na assign class teacher

Namna ya kuweka madarasa na kuseti mwalimu wa darasa kwa kila darasa ANGALIA >

12. Spidi ya mtandao

Fahamu namna ya kuweka mtandao wako uwe na spidi ya haraka ANGALIA >

13. Seti subjects na assign subjects

Orodhesha masomo na seti masomo gani yanafundishwa darasa gani kwenye Academic tab ANGALIA >

14. Seti class timetable

Seti ratiba au timetable ya kila section ya kila darasa ANGALIA >

15.Seti Transport 1 (usafiri)

Njia nzuri ya kuseti usafiri wa wanafunzi kama vituo na gharama za usafiri kwa kila kituo kwenye Tab ya supervision ANGALIA >

16. Seti Transport 2 (usafiri)

Njia nzuri ya kuseti usafiri wa wanafunzi kama vituo na gharama za usafiri kwa kila kituo kwenye Tab ya supervision ANGALIA >

17. Seti hostel (mabweni)

Njia nzuri ya kuseti mabweni/malazi ya wanafunzi kwa kuseti vyumba na mabweni kwenye tab ya supervision ANGALIA >

18. Taarifa ya admission

Taarifa ya kuanza kuingiza wanafunzi na taarifa zao kwa shule zinazoanza kutumia mtandao wa shulewise ANGALIA >

19. Create admission

Ingiza taarifa za wanafunzi na kutengeneza akaunti zao kwa njia ya create admission ANGALIA >

20. Online admission

Pata taarifa za wanafunzi na kuziingiza taarifa zao katika mtandao wako ili kutengeneza akaunti zao pia kwa njia ya wanafunzi kujaza fomu ya mtandaoni ANGALIA >

21. Admission by multiple import 1

Njia ya kuingiza taarifa za wanafunzi katika mtandao wako kwa kutumia faili ya excell yenye taarifa za wanafunzi pia na wao watengenezewe akaunti zao ANGALIA >

22. Admission by multiple import 2

Njia ya kuingiza taarifa za wanafunzi katika mtandao wako kwa kutumia faili ya excell yenye taarifa za wanafunzi pia na wao watengenezewe akaunti zao part 2 ANGALIA >

23. Leave (Likizo & Ruhusa)

Seti ruhusa na likizo, kwa watumishi na wanafunzi waweze kuomba ruhusa na likizo kutumia akaunti zao ANGALIA >

24. Payroll 1

Weka kumbukumbu za malipo ya watumishi baada au kabla ya malipo kufanyika ANGALIA >

25. Payroll 2

Weka kumbukumbu za malipo ya watumishi baada au kabla ya malipo kufanyika ANGALIA >

26. Payroll 3 & leave report

Weka kumbukumbu za malipo ya watumishi baada au kabla ya malipo kufanyika,& ripoti ya ruhusa na likizo ANGALIA >

27. Advance salary

 Pokea na jibu maombi ya mshahara kabla ya tarehe ya malipo ANGALIA >

28. Awards

Tunza taarifa za zawadi zilizotolewa au zitakazotolewa kwa watumishi au wanafunzi ANGALIA >

29. Attendance 1

Jinsi ya kuchukua maudhurio ya wanafunzi na watumishi ANGALIA >

30. Attendance 2 

Chukua maudhurio ya mitihani na kuangalia ripoti ya maudhurio ANGALIA >

31. Exam 1

Jaza taarufa za mwanzo za mitihani kama exam term,exam hall, mark distribution, na grade range  ANGALIA >

32. Exam 2 - exam setup

Jinsi ya kuseti mtihani na kutoa matokeo, namna ya kuseti jina la mtihani, aina ya marks, na term ya mtihani ANGALIA >

33. Exam 3 - exam schedule

Jinsi ya kuseti exam schedule ANGALIA >

34. Exam 4 - marks entries

Namna ya kuweka marks za mitihani ANGALIA >

35. Exam 5 - generate position

Tengeneza nafasi au ranking/position ya kila mwanafunzi katika mtihani  ANGALIA >

36. Exam 6 - generate report card

Tengeneza ripoti za matokeo za wazazi, ripoti yenye pia na isiyo na nafasi au position/ranking  ANGALIA >

37. Exam 7 - Aina  za report card

Utofauti kati ya report card ambayo ina position na isiyo na position  ANGALIA >

38. Exam 8 - Tabulation sheet &  position

Namna ya kugenerate tabulation sheet ya marks za mtihani, na kutafuta position ya kila mwanafunzi kwenye section nyingi  ANGALIA >

39. Exam 9 - Weka exam result kwenye tovuti

Namna ya kuweka matokeo/exam result kwenye tovuti au website ya shule  Download >

40. Accounting preliminaries

Fahamu aina za accounting katika shulewise, na seti akaunti za benki za shule au taasisi ANGALIA >

41. Accounting ipi ianze kutumika

Kipi kianze kutumika kati ya student na office accounting ANGALIA >

42. Office Accounting - record income

Namna ya kuingiza taarifa za mapato kipengele cha office accounting ANGALIA >

43. Office Accounting - record expenses

Namna ya kuingiza taarifa za matumizi kipengele cha office accounting ANGALIA >

44. Student Accounting - fee types & fee group

Maana ya fee types na fee group, orodhesha fee types za kila section ya darasa ANGALIA >

45. Student Accounting - fee group allocation

orodhesha fee types zote na fee group na allocate kwenye kila section ya kila darasa ANGALIA >

46. Student Accounting - seti faini

Seti faini za kila fee type katika student accounting ANGALIA >

47. Student Accounting - pokea ada/malipo

Pokea ada na malipo mbalimbali kutoka kwa wanafunzi ANGALIA >

48. Student Accounting - tengeneza risiti 

Namna ya kutengeneza risiti baada ya kupokea ada na malipo,tengeneza risiti na pia futa record ya malipo uliyokosea ANGALIA >

49. Student Accounting - tafuta wadaiwa

Namna ya kutafuta wanafunzi wanaodaiwa ada, baada ya mda wa kupokea ada au malipo kuisha ANGALIA >